Kutana na Mwanamke Aliyekufa Akitazama TV na Kugunduliwa Baada ya Miaka Mitatu TV Ikiwa Bado Inawaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutana na hiki kisa cha Mwanadada Joyce Carol Vincent raia wa Uingereza ambaye mwili wake ulikutwa sebuleni kwake tayari ukiwa mifupa mitupu kwenye Kochi baada ya kufariki dunia miaka miwili nyuma pasina mtu yeyote kufahamu. Joyce alifariki Disemba 2003 lakini hadi leo sababu ya Kifo chake imebaki kuwa kizungumkuti.

Mwili wake ulikutwa ndani January 25 mwaka 2006 huku Televisheni ambayo alikuwa akitazama, ikiwa bado inawaka pamoja na taa za sebuleni. Kwenye Friji lake kulikutwa bidhaa za mwaka 2003 zikiwa tayari zimekwisha muda. Uchunguzi unaeleza kwamba kabla ya Kifo chake, Joyce alifuta mawasiliano ya kila mtu ambaye anafahamiana naye.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad