google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Kutana na Mwanamke Anayekunywa MKOJO Wake Ili Kutunza Ngozi yake | UDAKU SPECIAL

Kutana na Mwanamke Anayekunywa MKOJO Wake Ili Kutunza Ngozi yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Imeripotiwa kuwa Mwanamke aitwae Ruby Karyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka nchini marekani atoa Siri ya uzuri wa ngozi yake kuwa anakunywa mkojo wake wa asubuhi kila siku na kujipaka mwili mzima.

Ameongezea Kuwa tangu ana umri wa miaka 19 aliambiwa na baba yake mzazi anywe mkojo wake na kujipaka kila siku kabla ya kulala kwa ajili ya kuwa na ngozi nyororo.
WE UNAWEZA KUNYWA MKOJO WAKO ILI UWE NA NGOZI NYORORO?? 😷😷😂😂🏃🏃
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad