Lengai Ole Sabaya na Wenzake Kizimbani Tena Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Moshi. Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne leo Jumatatu Juni 20, 2022 wamefikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kusikiliza mashtaka yanayowakabili ikiwemo uhujumu uchumi.


Juni 7, 2022  mahakama hiyo iliahirisha kesi hiyo baada ya upande wa mashtaka kueleza kuwa upelelezi bado haujakamilika.


Kesi hiyo namba mbili ya mwaka 2022 inayosikilizwa na hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Salome Mshasha  imekuja kwa ajili ya kutajwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad