Simba SC yatangaza rasmi kumuuza kiungo wake Left Footer Magician Rally Bwalya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Klabu ya Simba yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi Jijini Dar es salaam leo Juni 17 2022, imetangaza rasmi kumuuza kiungo wake Left Footer Magician, Rally Bwalya raia wa Zambia.


"Tumefikia makubaliano ya kumuuza mchezaji wetu Rally Bwalya". Imeeleza kwa ufupi taarifa hiyo kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter.


Kufuatia taarifa hiyo, mchezo wa Jumapili Simba SC dhidi ya KMC utatumika kumuuaga Kiungo huyo Left Footer Magician Rally Bwalya, mtaalamu wa pasi za kudondosha nyuma ya mabeki.


klabu ya Simba haijaweka wazi Ada na klabu yake mpya ambayo anakwenda kuitumikia, ilielezwa ni kutokana na matakwa ya kimkataba, hata hivyo Bwalya amekuwa akiwindwa na Amazulu FC ya Afrika Kusini.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad