Makubwa...Jamaa Amuingizia Mke Wake Panga Sehemu za Uke Kisa Kachepuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi Mkoani Mara linamshikilia Gimusi Murimi (42), Mkazi wa Wilaya ya Serengeti kwa madai ya kumjeruhi mkewe kwa kumuingizia panga sehemu za siri akimtuhumu kuchepuka

Kamanda wa Polisi Mara, Longinus Tibishubwamu amesema Mtuhumiwa anafanya kazi Katoro, Geita na Mei 25, 2022 aliporejea nyumbani alibaini mkewe sio mwaminifu kwenye ndoa

Kamanda anasema "Akamshambulia kwa fimbo na baadaye kumwingizia panga sehemu za siri na kumuumiza sana. Mwathirika yupo hospitali akipatiwa matibabu, uchunguzi unaendelea huku mtuhumiwa tukiwa tumemshikilia"

Tukio hilo ni mwendelezo wa matukio ya migogoro katika mahusiano. Je, Sheria kali na ushauri toka Wataalamu wa Saikolojia (Psychology) na Viongozi wa Dini vinaweza kubadili hali hii?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad