AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huenda hit maker wa ngoma ya Beer tamu @marioo_tz amesikia maoni ya mbunge wa jimbo la morogoro kusini mashariki @babutale kuhusu wimbo wake wa 'Mama Amina' na kuamua kuchapisha ujumbe katika ukurasa wake wa instagram unaotafsirika;
"Wimbo wangu unaofuata kutoka kwenye Album yangu utakua wimbo wa taifa kama kawaida yangu🌍🔥 Niamini mimi"
Ujumbe unaohisiwa huenda ni jibu kwa mbunge huyo aliyehoji juu ya wimbo wa Mama Amina kushindwa kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania BASATA.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK