Matokeo ya Mchezo wa Mpira Kati ya Taifa Star na Niger Kufuzu AFCON 2023

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Niger katika Mechi ya Kufuzu AFCON 2023 kwenye Uwanja wa de L’amitié Jijini Cotonou, Nchini Benin

Tanzania ilitangulia kupata bao katika dakika ya kwanza mfungaji akiwa ni George Mpole, wenyeji waliotumia uwanja wa Nchi ya jirani walisawazisha kupitia kwa Daniel Sosah dakika ya 26

Mchezo huo ni wa Kundi F, timu nyingine katika kundi hilo ni Algeria na Uganda. Mchezo ujao wa Tanzania ni Jumatano ijayo Juni 8, 2022 dhidi ya Algeria Jijini Dar es Salaam

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad