Mbwana Samatta Arejea Fenerbahce Baada ya Mkataba Wake Kwisha Royal Antwerp ya Ubelgiji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta pichani na wachezaji wengine, akiwa kwenye mazoezi na klabu yake ya Fenerbahce ya nchini Uturuki ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23.

Samatta amerejea Fenerbahce baada ya mkataba wake wa mkopo ndani ya klabu ya Royal Antwerp ya Ubelgiji kumalizika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad