google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Meneja wa Harmonize Chopa Atoa Ufafanuzi Tetesi za Meneja Mjerumani Kuondolewa Konde Gang Kisa Kajala | UDAKU SPECIAL

Meneja wa Harmonize Chopa Atoa Ufafanuzi Tetesi za Meneja Mjerumani Kuondolewa Konde Gang Kisa Kajala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Meneja wa msanii Harmonize  , Chopa ametolea ufafanuzi juu ya kile kilicho tokea kwenye Bio ya meneja mwenzie kwa Harmonize na Konde Gang kiujumla, Mjerumani (siku ya Jana june 8) ambaye alifuta kila kitu kuhusiana na masuala ya Konde Gang kwenye Bio yake ya Instagram kabla hajaiupdate tena, kitu ambacho kimeleta sintofahamu kwa wengi huku wakihisi Mjerumani kajitoa KGMW, na ujio wa Kajala Masanja Kama C.E.O pale Konde Gang ndio sababu.

Hasa Kupitia Empire ya EFM, Chopa amedai kilicho tokea ni kuwa Mjerumani alikuwa anaedit baadhi ya vitu kwenye Bio yake lakini kabla hajasave akawa offline, na matokeo yake ni kile kilichoenda mitandaoni, Chopa amekazia kuwa Mjerumani bado ni Meneja wa Harmonize na Konde Gang na pia amefurahi kuona, mwanamke mwenzie (Kajala) kuwa kwenye uongozi wa Label hiyo.

Hivi ukiedit Bio na ukatoka online bila kusave, si inabaki kama ilivyo kuwa awali ama?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad