Miss Brazil Afariki Dunia Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Kuongeza Urembo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Aliyekuwa Miss Brazil mwaka 2018, mrembo Gleycy Correia (27), amefariki Dunia Juni 20 baada kufanyiwa upasuaji wa kutoa mafindofindo.

Imeelezwa kuwa alipatwa na kiharusi na mshtuko wa moyo baada ya upasuaji huo ambapo alitokwa na damu nyingi.

Gazeti la The Sun limeripoti kuwa mrembo huyo alikaa kwa takribani miezi miwili kwenye moja ya hospitali huko nchini Brazil akiwa hajitambui baada ya upasuaji. Taarifa hiyo pia imetolewa na familia ya mrembo huyo.

Kiongozi wa kidini ambaye ni rafiki wa familia ya mrembo huyo, Mchungaji Jak Abreu, alieleza uchungu wake kwenye mitandao ya kijamii. Abreu alifichua kuwa wazazi wa mrembo huyo wanaamini kuwa kulikuwa na uzembe wa kimatibabu katika kesi yake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad