Mrembo Maarufu Kwenye Mitandao Poshy Queen Akana Kutengeneza Shepu Yake Matata

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Poshy Queen; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania ambaye amekuwa akizungumziwa mno juu ya kutengeneza shepu matata aliyonayo, lakini mwenye anasema hajawahi kufanya jambo kama hiyo.


Poshy Queenn anasema kuwa umbo lake matata (kiuno cha nyigu) linatokana na asili ya familia yake kwani hata mama yake ana shepu kuliko hata yeye.


Kwa baadhi ya watu wanaojua familia ya Poshy Queen ambao ni wenyeji wa jijini Mbeya wanasema ni kweli ni asili yao kwani ndugu zake nao wamejaaliwa shepu kama ilivyo kwa wanawake walio wengi kutoka jijini Mbeya.


STOLI: SIFAE LPAUL

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad