AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwishoni mwa mwezi April kulizuka story nyingi baada ya msanii Rayvanny kufuta neno “Signed Under WCB Wasafi” kwenye Biography yake ya Instagram, wengi wakiamini msanii huyo ameisha jitoa kwenye Label hiyo kubwa ya muziki Afrika Mashariki.
Achana na video na picha za pamoja za Rayvanny na Diamond wakiwa Ethiopia, baada ya Rayvanny kutoa video yake ya I miss You kwenye Channel yake ya YouTube,katika sehemu ya maelezo ya video hiyo (descriptions), kuna details ambazo bado zinakupa uhakika kuwa msanii Rayvanny bado yupo WCB. Kwanza email yake ukitaka kumbook kwaajili ya show, ni Rayvanny@ wcbwasafi.com, lakini pia Copyright ya I miss You, ipo chini ya WCB.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK