MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, George Mpole Avunja Ukimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, George Mpole amewataka Watanzania kuthamini wachezaji wazawa tofauti na wanavyowachukulia.

Akizungumza na Mwanaspoti jana, Mpole alisema licha ya wao kutozungumzwa sana ila wanafanya kazi kubwa ingawa hawapewi sifa kama ambavyo wageni wamekuwa wakiimbwa kila siku.

“Watanzania wanapaswa kujifunza kuthamini vya kwao sina maana wageni hawafanyi mambo makubwa ila mzani ni lazima ubalansi licha ya ukweli wenyewe tunajifunza kutoka kwao,” alisema na kuongeza;

“Siongei kwangu binafsi ila ni kwa wazawa wote, wapo ambao wanaonyesha uwezo mkubwa kuliko hata hao wageni ila kwa bahati mbaya tunawasahau na kuthamini vya nje jambo tunalopaswa kubadilika.”

Mpole ndiye kinara mzawa mwenye mabao 15 kwenye Ligi Kuu Bara. Nyota wa Yanga, Fiston Mayele anaongoza msimamo wa wafunga akiwa na mabao 16.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad