Mtangazaji Mchambuzi wa Michezo Oscar Oscar Aagwa EFM Radio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kupitia ukurasa wa Instagram ya @efmtanzania wameandika kuwa:


“@oscaroscarjr ni mmoja wachambuzi waandamizi ambao wamekuwa nasi kwenye Sports HQ kwa miaka 7 sasa.

.

Sisi tunamshukuru kwa uchambuzi wa kina, vituko, maoni na yote aliyofanya kwenye kipindi hicho. Tunamtakia kila lenye kheri kwenye majukumu yake mapya.

.

#AsanteMzeeWaKaliua


Kwa taarifa inamaanisha kuwa Mchambuzi huyo wa masuala ya soka nchini anaagwa Rasmi na bado haijajulikana anapoelekea/alipohamia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad