AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa muziki nchini, Bob Juniortz , ameeleza kuwa yeye ni msanii mzuri kuliko yeyote nchini Tanzania.
Alisema hivyo wakati akijibu swali la mtangazaji wa kipindi cha Zege, @tony_sixteen Juni 7 2022, lililouliza kuwa ni mambo gani ambayo msanii huyo anaamini ni wa kwanza kufanya Tanzania kabla ya wasanii wote?
"Baada ya Mr Nice mimi ni mtumbuizaji bora, kwasababu si nakatika viuno sana, yes i'm second one na sio second one mimi ni namba moja kwasababu Mr Nice kazeeka"
"kuwa msanii handsome boy kuliko yeyote nchi hii, mimi ndio handsome boy, msanii mzuri, msanii produza, msanii muimbaji"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK