Mwanaume akamatwa kwa kumzaba kofi mbunge kanisani Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwanaume mmoja amekamatwa magharibi mwa Uganda na kushikiliwa katika mahabusu ya polisi baada ya kumzaba makofi mbunge katika kanisa moja Jumapili, vimeripoti vyombo vya habari nchini humo.


Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 39 alimvamia Waziri wa uchukuziambaye pia ni mbunge, Musa Ecweru alipokuwa akitoa hotuba kwa kusanyiko la waumini katika kanisa la kikatoliki la Mtakatifu Michael (St Michael Catholic Church) mjini Amuria.


"Hakujibu bali alimtazama tu. Wakristo na mapadre walishtuka,", chanzo kimoja ambacho hakikutajwa jina kililiambia gazeti linalomilikiwa na serikali nchini humo la New Vision


Walinzi wa Ecweru hatimaye walimzidi nguvu mwanaume huyo, wakamkamata na kumkabidhi kwa polisi, zilisema ripoti za vyombo vya habari.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad