AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
D wa Insta na Kipenzi cha Watanzania, Mwijaku amedai ujio wa Kajala kama Meneja wa Harmonize unaenda kumuangusha kimuziki msanii huyo, Ni vema mapenzi yangebaki kama mapenzi na sio kupeana hadi majukumu ya kazi.
Kingine Mwijaku amedai ujio wa Kajala kwa Harmonize, unafanya baadhi ya watu kama yeye (Mwijaku) kupunguzwa, haingii tena ndani kama zamani,anaishia kwenye kibanda cha mlinzi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK