Mwijaku: Ndio niliongea na Diamond nilikuwa namuuliza yeye amepewa kiasi gani na Wasafi bet maana mimi na yeye ni mabalozi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mtangazaji huyo wa Clouds FM ameeleza kuwa yeye hayupo Upande wa Diamond na kuwa hata safari ya Mwanza hakupelekwa na Diamond bali alipelekwa na Wasafi bet kwa sababu wote ni mabalozi wa kampuni hiyo ya kubet.

Mwijaku anasema wakati yupo Mwanza na @diamondplatnumz alimuuliza yeye kalipwa bei gani maana wote ni mabalozi.”Ni kweli niliongea naye na nilikuwa namuuliza yeye kama balozi mwenzangu amelipwa kiasi gani Wasafi bet ? sikuongea naye chochote , Mimi ni balozi wa Wasafi bet, Diamond balozi wa Wasafi bet na Babalevo pia.”

Mwijaku amehoji kuwa kama Diamond angekuwa na hela ndugu zake wasingekuwa na shida huku akimtolea mfano Ricardo Momo kuwa alimuomba hela ya Luku Tsh 20,000.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad