JIUNGE NA GROUP LA TELEGRAM LA AJIRA YAKO KUPATA AJIRA MPYA ZINAZOTANGAZWA KILA SIKU BONYEZA HAPA
Mwimbaji nyota wa muziki wa kizazi kipya Abby Chams akaribishwa rasmi kwenye record label ya Sony Music Africa baada ya kusainishwa mkataba ambapo kuanzia sasa atakuwa akifanya kazi chini ya usimamizi wa label hiyo kubwa na maarufu ulimwenguni.
Neno moja la pongezi kwa #Abby kwa hatua kubwa aliyoipiga kwenye muziki wake.
0 Blogger:
Post a Comment