Nay wa Mitego Afunguka "Dulla Makabila Hajielewi ni Zero Brain Kichwani, Kaumaliza Mwendo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Rappa Nay wa Mitego ametumia uwanja wake wa Insta story kumchana msanii wa singeli @dullamakabila kwa mkeka alio uandika kumuomba msamaha Diamond Platnumz, huku Rapa huyo akidai Makabila ni msanii hasiye jielewa,ni zero kichwani na ni rasmi kaumaliza mwendo.



Kabla ya msamaha wa Dullah, Kama unakumbuka miezi michache nyuma, Dullah Makabila alikuwa yuko karibu na upande wa E Media na kuanza kuuponda upande wa pili (Wasafi Media) akiwemo CEO wa Wasafi Media, Diamond Platnumz kuwa walimtumia kujinufaisha wenyewe wakati Makabila akiendelea kuwa chini kila siku na wanamchafua kisa tu yupo karibu na Majizzo, na anafuraha kuhamia E Media kwa waswahili na muziki wa singeli uliko zaliwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad