Nigeria: Mume wa Marehemu Mwanamuziki wa Injili Osinachi Afikishwa Mahakamani Kwa Mauaji Haya Ndio Yaliyojiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Peter Nwachukwu ambaye ni Mume wa Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Osinachi Nwachukwu (aliyefariki mwezi Aprili) amekana mashtaka yote yanayohusiana na kifo chake na madai ya unyanyasaji katika ndoa yao

Peter anakabiliwa na jumla ya mashtaka 23, baadhi yakihusiana na Unyanyasaji wa Nyumbani (unyanyasaji wa kihisia na kisaikolojia) na kuua bila kukusudia

Baadhi ya nyimbo alizoshiriki Osinachi ni kama Nara Ekele akiwa na Mchungaji Paul Enenche na Ekwueme akiwa na Prospa Ochimana

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad