JIUNGE NA GROUP LA TELEGRAM LA AJIRA YAKO KUPATA AJIRA MPYA ZINAZOTANGAZWA KILA SIKU BONYEZA HAPA
Meneja Petitman Wakuache amesema hawezi kumkataa wala kugombania mtoto wake Taraj Wakuache kwa mzazi mwenziye Esma Platnumz mpaka atakapokua na kujua ukweli wa kilichotokea.
"Siwezi kugombania mtoto wakati ni damu yangu mwenyewe, atakua na atajua nani alikuwa na shida mimi au mama yake, yule ni mtoto wangu siwezi kumkataa nampenda" amesema Petitman Wakuache
0 Blogger:
Post a Comment