AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo Poshy Queen anasema chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa mumewe na baba moto wake John kutoka Nigeria zimesabishwa na changamoto za mahusiano.
"Kwenye mahusiano hamuwezi kwenda sawa kila siku, sisi hatuku-date muda mrefu kwa sababu tulioana mapema, labda hatukujuana hatukukaa pamoja na vitu vingine vya kawaida" amesema Poshy Queen
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK