Rais Samia Awaka Jambo Hili Sawa "Mafuta ni Janga la Ulimwengu Mzima Sio la Serikali ya Tanzania Pekee"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Akizungumza na Wananchi wa Bwanga Wilayani Chato, Mkoani Geita Rais Samia Suluhu Hassan amesema kwasababu ya Vita inayoendelea Nchini Ukraine, bei ya mafuta imepanda duniani kote

Amesema "Bilioni 100 zimetolewa kufidia bei za mafuta zishuke. Mwezi huu bei zimeanza kushuka polepole. Tutaendelea kutoa Ruzuku mpaka duniani kukae sawa. Tutakata Bilioni 100 kila mwezi kwenye matumizi ya Serikali ili kupunguza makali"


Ameongeza "Dunia nzima tunaziambia zile Nchi mbili ziache kupigana kwasababu zikiacha, tutapata unafuu wa mambo mengi. Tulikuwa tunaagiza ngano katika mojawapo ya Nchi zinazopigana, sasa haiwezekani. Nchi nyingine mikate ni kwa mgao"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa kuwa hakuna cha maana kimeshuka kwenye hayo mafuta, nashauri serikali isitishe kutoa hizo bmia kila mwezi ili iache soko lijiendesha kwani kuna wasiwasi kuna kizungumkuti kipo hapo. Hii inakuwa kama sadaka, ni ngumu kuziaudit na ni rahisi kuzipiga.

    ReplyDelete

Top Post Ad