Rose Ndauka, Bundi Atoa Kwenye Ndoa yake...Apost Au Jeusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rose Donatus Ndauka; ni mwanamama wa Bongo Movies, Hip Hop na mjasiriamali maarufu nchini Tanzania ambaye watu wa karibu wanasema eti bundi katua kwenye ndoa yake na Hafidh.

Hii ni baada ya Rose kutoa kauli hii; “Maisha ni kufurahi, ukiona mtu anataka kukatishia furaha uliyokuwa nayo, ondoka kwenye maisha yake na utafute furaha yako ya kweli, usikubali kunyanyasika, kisa tu amekuoa……Kuzifikia ndoto ni muhimu…”

Katika kuonesha kwamba, mambo hayapo sawa, Rose amesindikiza ujumbe huo na ua jeusi kama alivyofanya mwanamama Zari The Boss Lady, siku zile alipoachana na Diamond Platnumz.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad