Serikali yapewa Miezi Mitatu Kuchunguza Tuhuma za Mauaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson leo Alhamisi Juni 9, 2022 ameiagiza Serikali miezi mitatu ya kufanya uchunguzi wa tuhuma za mauaji ya wananchi zilizotolewa na Mbunge wa Tarime Vijiji, Mwita Waitara na Mbunge wa Songwe, Phillipo Mulugo.


Wabunge hao walitoa orodha ya majina ya wananchi wa majimboni kwao wanaodaiwa kuuawa na kujeruhiwa na Tembo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad