Stan Bakora Ahuhakikishia Ulimwengu Kuwa Kajala na Harmonize Wanafunga Ndoa Hivi Karibuni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kuisikia kauli kutoka kwa mtu wa karibu na couple ya Harmonize na Kajala, mchekeshaji @stanbakora_ ambapo amesema, ndoa ya wawili hao inakuja.


Akizungumza kwenye Chill na Sky hapa SnS, @stanbakora_ ametuthibitishia kuwa Harmonize amepanga mahusiano yake hayo yafikie kwenye hatua hiyo muhimu katika maisha na mwezi wa saba haupiti kila kitu kitakuwa tayari.


Pia Stanbakora amefunguka sababu hasa za kuipenda couple hiyo kiasi cha kutoa wimbo uitwao "Konde Love". Link kwenye bio yake @stanbakora_


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad