Tume ya Uchaguzi nchini Kenya Yampitisha Kugombea Urais Mgombea Mwenye Sera za Kuruhusu Matumizi ya Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IEBC imemuidhinisha Profesa George Wajackoyah kuwania kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi wa nane mwaka huu nchini humo ambapo ameidhinishwa baada ya kutimiza matakwa na vigezo vyote alivyotakiwa kuwa navyo tofauti na mwanzoni kutokuwa na orodha ya kutosha ya wanaomuunga mkono kuwania nafasi hiyo ya Urais.


Profesa Wajackoyah ambaye atawania ngazi hiyo ya Urais kupitia tiketi ya Chama chake cha ROOTS amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na upekee wa sera zake husasani ile ya kuruhusu kila Mkenya kuotesha na kuuza bangi kama zao la biashara iwapo watamchagua kuwa Rais

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad