Urine Uwoya Atega Watu Kwa Kusema Haya "Unaweza Kuchoma Moto Cheti cha Form Four Kwa Milioni 20? "

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Irene Uwoya @ireneuwoya8 ; ni mwanamama wa Bongo Movies na mjasiriamali ambaye amekuwa akiwapa chalenji mashabiki wake ikiwemo ile ya kutotumia siku za wikiendi kufua nguo na badala yake watafute pesa kisha kutokwenda kazini Jumatatu kwa kuwa ni siku ya mapumziko.

Safari hii amekuwa na nyingine kali ambayo kila mtu anasema lake. Uwoya amewauliza mashabiki wake; “Unaweza kuchoma moto cheti cha form four kwa milioni 20???”

Hata hivyo mmoja wa mashabiki hao ametoa kali kwa kumuambia; “Mna mitego nyie…haya mpo Dar sehemu gani?”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad