Waendesha boda boda Kahama kuchoma moto Gari lililosababisha ajari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Na Victoria Robert , Kahama
Waendesha bodaboda pamoja na wananchi wenye hasira kali wamedaiwa kuchoma moto gari aina ya Noah lenye namba za usajili T 975 DHH na kusababisha uharibifu mkubwa wa gari hilo kuteketea kwa moto.
Hatua ya boda boda hao pamoja na wananchi ya kuteketeza gari hilo kwa moto imekuja baada ya mwenzao aliyefahamika kwa jina la Hiali Mgina (38) mkazi wa mtaa wa majengo wilayani humo kugongwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad