Wamiliki wa Magari yaliyoua Iringa Wanatafutwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Wilbroad Mutafungwa, amesema wanaendelea kumtafauta mmiliki wa basi ndogo aina ya Costa pamoja na mmiliki wa lori aina ya Scania yaliyosababisha ajali na kuuwa watu 20 katika eneo la changarawe mjini Mafinga mkoani Iringa.


Kamanda Mutafungwa amesema kwamba wanawatafuta wamiliki hao kwa ajili ya mahojiano pamoja na dereva wa Scania kwani dereva aliyekamatwa ni wa ile gari ndogo.


"Tunamatafuta dereva wa Scania na mmiliki wake, na tunamtafuta mmiliki wa hiyo Costa lazima ahojiwe kwamba ilikuwje akaruhusu gari lake likabeba abiria kwenda Mbeya wakati halina leseni ya usafirishaji wa abiria,"amesema Kamanda Mutafungwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad