AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja ya majarida yanaoyotoa takwimu mbalimbali barani Afrika la African Fact Zone limetoa orodha ya wasanii 10 wanaoongoza kwa kusikilizwa katika mtandao ya Spotify.
Katika orodha hiyo ya wasanii 10 wasanii 7 wanatoka Nigeria huku wengine mmoja akitoka Ghana, mwingine Algeria.
Katika ukanda wa Afrika Mashariki hakuna msanii hata mmoja.
Africa’s Most Spotify Monthly Listeners
1. Ckay – 19 million
2. Tems – 16.3 million
3. Burna Boy – 10.8 million
4. Fireboy – 9.4 million
5. Wizkid – 7.1M
6. Rema – 6.6M
7. DJ Yo – 6.2M
8. Soolking – 5.8M
9. Amaarae – 5.7M
10. Mr Eazi – 5.1M
Unahisi msanii yupo alistahili kuwepo kwenye hii orodha na hayupo ?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK