Young Africans yaendelea kupeta Ligi Kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans wameendelea kutoa dozi kwenye ligi hiyo, baada ya leo Jumatano (Juni 22) kuichapa timu ya Polisi Tanzania mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.


Mchezo huo wa Mzunguuko wa 28 kwenye ligi ikiwa Young Africans haijapoteza mchezo wowote, huku mshambuliaji wao Fiston Mayele akishindwa kupachika bao kwenye mchezo wa leo.


Mabao pekee ya Young Africans yamewekwa kimyani na Feisal Salum “Fei Toto” pamoja na Chico Ushindi ambapo mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad