AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zari amesema yupo tayari kuingia katika ndoa na bwana'ke huyo mpya wanayependana kwa dhati japokuwa wengine wanaona kama ana umri sawa na mwanae wa kwanza mwenye miaka 18
Tangu alipomwagana na Diamond Platnumz takribani miaka minne iliyopita, Zari amekuwa katika mahusiano na wanaume si chini ya 4 ambapo mahusiano yote yaliishia kupasukiana bila Zari kuweka wazi sababu
Ila safari hii anaonekana kumpata mume sahihi mtarajiwa ikiwa ni mwezi mmoja tangu wawe wapenzi na kumuweka wazi jamaa huyo anayedaiwa bado hajazoea hekaheka za mitandaoni kutoka kwa mashabiki
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hivi huyu kijana si atakua anaogelea tu hapo. Maana umepita mguu wa mtoto umo
ReplyDelete