AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
West na mpenzi wake mpya Chaney Jones wameachana, imethibitisha tovuti ya TMZ muda mchache uliopita. Wawili hao wamefikia ukomo wa penzi baada ya ziara ndefu nchini Japan.
Hakuna taarifa za yupi aliyempiga chini mwenzie lakini taarifa hizi zinakuja ikiwa ni siku chache baada ya kuonekana picha ya Kanye West akicheki movie na mwanamke mwingine. YE na Chaney walianza kuonekana hadharani mwezi Februari mwaka huu na tayari mwanadada alishachora Tattoo yenye jina ‘YE’ mkononi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK