google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Zimwi la Kim Kardashian Laendelea Kumtesa Kanye West, Aachana Tena na Mpenzi Wake Mpya | UDAKU SPECIAL

Zimwi la Kim Kardashian Laendelea Kumtesa Kanye West, Aachana Tena na Mpenzi Wake Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


West na mpenzi wake mpya Chaney Jones wameachana, imethibitisha tovuti ya TMZ muda mchache uliopita. Wawili hao wamefikia ukomo wa penzi baada ya ziara ndefu nchini Japan.

Hakuna taarifa za yupi aliyempiga chini mwenzie lakini taarifa hizi zinakuja ikiwa ni siku chache baada ya kuonekana picha ya Kanye West akicheki movie na mwanamke mwingine. YE na Chaney walianza kuonekana hadharani mwezi Februari mwaka huu na tayari mwanadada alishachora Tattoo yenye jina ‘YE’ mkononi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad