Dawa ya Kuzuia Mimba P2 Yaongoza Kutumiwa na Wanafunzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imesema inafanya utafiti wa Dawa za nguvu za kiume aina ya Viagra kwa kuangalia matumizi yake kwa ukubwa na yapo kwa kiasi gani, ili waweze kutoa elimu sahihi kwa jamii.


Pia wameziwekea mkakati dawa aina ya P2, kwa lengo la kudhibiti uholela wa utumiaji wake ambapo, imeonekana watoto wa shule wengi wanapenda kuzitumia kutolea mimba.


Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Adam Fimbo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 46, ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.


Alisema utumiaji holela wa dawa za jamii ya kutolea mimba na za kuongeza nguvu za kiume, zimekuwa zikitumika ndivyo sivyo na kuwaleta madhara watu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad