Diamond Platnumz, Zuchu Wajivinjari Paris Huku Uvumi Kwamba Wanachumbiana Ukishika Kasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Diamond Platnumz akijivinjari na Zuchu. Picha: Diamond Platnumz.
Wawili hao walionekana kuwa na furaha walipokuwa wakipita katika mitaa ya Paris huku wakiwa wameshikana mikono na mara kwa mara wakisimama kupiga picha na mashabiki.

Diamond alionekana kuzama katika penzi na mshikaji wake huku mpiga picha akinyaka nyakati alizokuwa akimtazama Zuchu kwa kummezea mate.

Simba alionekana mchangamfu mno, na uvumi kuhusu wawii hao kuchumbiana zikishika kazi.


 
Serikali ya Kaunti ya Uasin Gishu Kufunga Baa Zote Mjini Eldoret Mkesha wa Siku ya Uchaguzi
Hivi majuzi alifichua kuwa alikuwa kwenye ziara ya ulimwengu akiwatumbuiza mashabiki wake kwa vibao motomoto huku akipakia video akiwa kazini.

Bosi huyo wa Wasafi Classic Baby alipita kwenye maduka kadhaa ili kumnunua bnidhaa msanii huyo wa nyimbo za Mtasubiri.

Katika mahojiano hivi majuzi, Diamond alisema hana mpango wa kufunga ndoa.


Alisema ameona talanta za marafiki zake wengi zikisambaratika huku akifichua kwamba yeye anazingatia kutoa vibao vingi hata zaidi na kuwatumbuiza mashabiki zake.

Katika hadithi inayohusiana na taarifa hiyo, TUKO.co.ke iliripoti kuwa Zari Hassan mmoja wa mamake wanawe Diamond alidai kwamba mwimbaji huyo ni Deadbeat.

Alikuwa ndani ya gari lake la kifahari akifurahia muziki na mashabiki wake walibadilisha mistari ya vibao hivyo kuashiria kwamba alikuwa akimwimbia nyota huyo wa Bongo.

Zari alieleza kuwa alikuwa mwanamke shupavu anayewatunza watoto wake wote, ikimaanisha kuwa mjanja huyo wa Kitanzania alikuwa akilala usingizi katika masuala ya uzazi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad