AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji maarufu wa klabu ya Yanga Haji Manara ameiomba serikali kuunda tume huru ya kuchunguza sakata lililotokea baina yake na Rais wa TFF Wallace Karia mnamo Julai 2,2022 kwenye mchezo wa fainali ya michuano ya FA (ASFC) 2021/22.
“Niombe serikali iangalie kitu gani cha kufanya ili kutengeneza usawa kwenye mpira wetu (standards),na iwapo ikibainika nipo radhi kufungiwa hata miaka 10 jela kutojishughulisha na mpira” amesema Haji Manara
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK