Hatimaye...Mtuhumiwa Mauaji ya Watu Saba Kigoma Adakwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamishna Liberatus Sabas, mkuu wa oparesheni na mafunzo wa jeshi la polisi Tanzania, ametoa taarifa kwa wanahabari na ameeleza kukamatwa kwa mtuhumiwa anayedaiwa kuua watu saba wa familia moja Kigoma.


Sabas amesema kuwa watu wanaangalia wingi wa watu waliokufa lakini, kupitia ushahidi jeshi la polisi wanauhakika mtuhumiwa huyo ndiye aliyehusika katika vifo vya watu wote hao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad