Hii Hapa Taarifa Rasmi Kutoka Yanga Kuhusu Kuachana na Senzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo ilieleza Senzo aliwasilisha ombi hilo lenye muktadha wa sababu za kifamilia ambayo amekuwa nayo mbali kwa kipindi cha miaka mitatu.

Ombi hilo lilipokelewa na baada ya kujadiliwa, Kamati ya utendaji ilikubali ombi hilo na kumteua Wakili Simon Patrick kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa mpito (Interim Executive Officer).


Klabu hiyo imemshukuru Senzo kwa utumishi wake uliobora hasa katika mchango wake kwenye eneo la utawala na kumtakia kila la heri.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad