Hii Hapa Taarifa Rasmi Kutoka Yanga Kuhusu Kuachana na Senzo


Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo ilieleza Senzo aliwasilisha ombi hilo lenye muktadha wa sababu za kifamilia ambayo amekuwa nayo mbali kwa kipindi cha miaka mitatu.

Ombi hilo lilipokelewa na baada ya kujadiliwa, Kamati ya utendaji ilikubali ombi hilo na kumteua Wakili Simon Patrick kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa mpito (Interim Executive Officer).


Klabu hiyo imemshukuru Senzo kwa utumishi wake uliobora hasa katika mchango wake kwenye eneo la utawala na kumtakia kila la heri.


______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad