Mtangazaji wa mechi za Ligi Kuu Misri Muhammad El Shazly ameonekana kuguswa na kiwango cha kiungo wa Tanzania Himid Mao anayecheza Ghazl El Mahallah ya Ligi Kuu Misri kuwa hapewi heshima anayostahili kwa kiwango chake bora.
Nafasi za Ajira Jiunge na Ajira Yako Telegram Group
0 Comments