Majaliwa "Wanaosema Tumeongea 20,000 ni Wenye Mishahara Mikubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaosema kuhusu ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa na ambao unatosha

Ameeleza, "Ni kweli 23% iliyotamkwa haijalipa watu wote, na hii ni kwasababu ya Formula inayotumika katika kutamka viwango vya Mshahara. Inapotamkwa wanaonufaika si wote mpaka wa mishahara mikubwa, bali ni wale wa kada ya chini"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad