Marioo "Sipendi Kumkubatia Mimi Mars"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Marioo  au Toto Bad; ni staa mwingine mkubwa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, si kweli kwamba alimpatia zawadi ya bethidei mrembo Mimi Mars hapo juzi alipokuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa.

Marioo anasisitiza kuwa, yeye na Mimi Mars ni washikaji tu na siyo wapenzi hadi kuwa na ulazima wa kufanya hivyo.

Marioo pia anasema kuwa, yeye na Mimi Mars hawajakumbatiana sana kwenye video ya wimbo wao wa La La kutokana kila mmoja kuwa na mtu wake huku akisistiza yeye hapendi sana kumkumbatia hata kwenye video zake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad