Mhamasishaji wa klabu ya Yanga Haji Manara amekana kumtukana Rais wa TFF Wallace Karia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mhamasishaji wa klabu ya Yanga Haji Manara amekana kumtukana Rais wa TFF Wallace Karia hapo jana katika mechi ya fainali ya FA kati ya Yanga na Coastal Unioni kama ambavyo taarifa zinadai zikiambatanishwa na ushahidi wa video hiyo hapo juu.

Amesema watu wanaotoa taarifa hiyo ni wale wenye chuki naye binafsi (Jemedari Said) na safari hii hawaachi atawachukulia hatua za kisheria kwa kutaka kumchafua na kumgombanisha na mamlaka za soka.

Video hiyo inaonesha kweli kulikuwa na kutupiana maneno na haji Manara hajaweka wazi ni kitu gani kilikuwa kinaendelea hapo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad