Sallam Sk Atoa MPYA..."Nyimbo Mbaya za Diamond Platnumz Ndio Zinazo Mpa Show Nje ya Nchi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sallam Sk amedai anashangaa sana kuona watu wanabeza nyimbo za Diamond anazo toa hivi sasa kuwa ni mbaya, na wanamtaka yule Diamond wa kamwambie kitu ambacho hakiwezi kutokea tena.

Sallam amedai hizo nyimbo mbaya anazoimba Diamond, ndizo zinazo mpa show za nje, ndizo zinafanya wao wale, kwahiyo nyimbo mbaya zitaendelea kutoka tu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad