AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWENYEKITI wa kamati ya harusi ya Nandy na Billnass iliyofanyika jana Julai 16, 2022, Steve Nyerere alisema kwamba harusi hiyo imegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2 kwa ajili ya ukumbi, chakula, vinywaji n.k ukiachilia mbali kiasi cha pesa ambacho kimesalia ambacho ni shilingi bilioni 3 zinazotarajiwa kugawanywa miongoni mwa wanakamati wa harusi hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK