TAARIFA :Upasuaji wa Kutenganisha Watoto Waliokuwa Wameungana Umefanyika kwa Mafanikio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Upasuaji wa kuwatenganisha Watoto waliokuwa wameungana (Neema na Rehema) umefanyika kwa mafanikio katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo Jopo la Wataalamu 31 wametumia saa saba kukamilisha upasuaji huo.

Watoto hao mapacha wawili wenye umri wa miezi tisa walizaliwa wakiwa wameungana sehemu ya kifua na tumbo na kwa upande wa umbo la ndani wameungana ini ila kila Mtoto ana ini lake.

Tanzania inakuwa nchi ya tatu Barani Afrika kufanya upasuaji wa aina hii baada ya Afrika ya Kusini na Misri.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad