Rais Samia amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa Wapya 9 na kuwahamisha vituo vya kazi Wakuu wa Mikoa 7 na wengine 10 kubakia kwenye nafasi zao ambapo Amos Makalla ameendelea kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
John Mongella ameendelea kuwa RC Arusha, Charles Makongoro Nyerere ameendelea kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Juma Homera ameendelea kuwa RC Mbey
______
Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA