Frida Amani Adai Hamji Rosa Ree "Huyu Mtu Aliyenipost Hata Simjui ni Nani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Msanii wa Rap nchini, Rosa Ree “Goddess ” kuwapost wasanii wenzie wa wa Rap, Frida Amani pamoja na Chemical kwenye ukurasa wake wa Instagram na akiwataka waendelee kufukua mashimo ila wajue tu atawazika, Rapa Frida Amani pia amejibu.


Kwenye Amplifaya ya Clouds Fm, Frida Amedai hana cha kumjibu mtoa post kwasababu hata hamjui ni nani, akiwa na maana kuwa hajawahi msikia wala kumuona Rosa Ree na haelewi anafanya nini😆


Sema Bifu za wanawake bana

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad