Frida Amani Amvulia Uvivu Rosa Ree...."Kwani Rap si Kuchana Mbona Mdomo Mwingi?"


Baada ya Rapa @rosa_ree Kuonesha kuwatumia Ujumbe @fridaamaniofficial na @chemical_tz kuwa ni watu wa Hasira na kuwaambia kuwa wajiandae kuwa Anakuja kuwazika, Sasa kupitia ukurasa wa Instagram wa @fridaamaniofficial Ameamua Kumjibu kwa Kuandika...

😂kwani rap si kuchana mbona mdomo mwingi???''

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad